Kutoka
 kushoto ni Dj Luke, Mhe, Ali Hassan Mwinyi, Mhe. Ramadhan Muombwa 
Mwinyi, Mama Lily Munanka, Idd Sandaly na Baraka Daudi katika picha ya 
pamoja wakati wakiingia ukumbini.
 Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi akiongea machache kabla ya kumkaribisha Dj Luke.
 Rais 
Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akihutubia mamia ya Watanzania waliofika 
kwenye Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili na sherehe ya miaka 3 ya 
Vijimambo na kulifungua rasmi.

Edited:by Amina Design.


No comments:
Post a Comment